NA AHMED ABDULLA:
Mapema asubuhi katika
kituo cha bodaboda Mahonda, Salum Juma anajiandaakuanza safari za
kuwahudumiaabiriawanaokwendakwenyeshughulizao za kila siku.
Wakati
akisubiriwateja na kufanya safari mbalimbali, Salum hupatamuda wa
kushirikimikutano ya kijamii na shughuli za maendeleo katika shehia yake.
Anaaminikuwavijanahawapaswikuwawatazamaji
wa masualayanayohusumaendeleo ya jamiizao, baliwanatakiwakuwawashiriki wa moja
kwa moja katika maamuziyanayogusamaishayao na mustakabaliwao.
Kwa mtazamo wake,
ushiriki wa vijana katika utawala bora ninjiamuhimu ya
kuhakikishasautizaozinasikika na mchangowaounatumika katika
kujengajamiiyenyemaendeleo na uwajibikaji.
Mtazamo wa Salum
unaakisihalihalisi ya vijanawengi katika visiwavya Zanzibar
ambaowanazidikutambuaumuhimu wa kushiriki katika masuala ya utawala bora na
maendeleo ya jamii.
Hata hivyo,
badokunahitajikajuhudizaidi za kuwawezeshavijanakushirikikikamilifu katika
mifumo ya maamuzikuanziangazi ya shehia haditaifa.
Kwa mujibu wa Sensa
ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Zanzibar inawakazi 1,889,773, ambapovijana
wenye umri wa miaka 15 hadi 35 nitakribani 699,216 sawa na asilimia 37 ya
wakaziwote.
Takwimuhizizinaoneshakuwavijananikundikubwalenyemchangomuhimu
katika maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii.
Kutokana na
idadihiyokubwa, ushirikiwao katika masuala ya utawala bora nijambomuhimu kwa
maendeleoendelevu ya Zanzibar.
Utawala bora
unahusishauwazi, uwajibikaji, ushirikishwaji wa wananchi, utawala wa sheria na
kuheshimuhaki za binadamu.
Katika mazingirahayo,
vijanawanapaswakuwasehemu ya michakato ya maamuzikuanziangazi ya familia,
shehia, wilaya haditaifa.
Ushirikiwaohusaidiakuibuamawazomapya,
kuongezauwajibikaji na kuimarishamaendeleoendelevu.
Akizungumza na
makalahii, Salum, alisemaushiriki wa vijana katika shughuli za
kijamiihuongezauwazi na uwajibikaji katika jamii.
“Vijana
wanauwezomkubwa wa kuletamabadilikochanyawanapopewanafasi ya kushiriki,”
alisema.
Aliongezakuwaviongoziwanapaswakusikilizamaoni
ya vijana kwa kuwawaonisehemukubwa ya jamii. Pia aliwahimizavijanakushiriki
katika mikutano ya kijamii na shughulimbalimbali za maendeleobadala ya
kubakiwatazamaji, kwaniushirikihuohuwajengeauwezo wa uongozi na kujiamini.
Asha Kombo Hamadi,
nikijanamjasiriamalianayejishughulisha na saluni ya wanawake katika Shehia ya
Mahonda, alisemaushiriki wa vijana katika utawala bora huwapanafasi ya kusikika
na kutoamawazoyao kuhusu maendeleo ya jamii.
“Vijana tusiposhiriki
katika maamuzi ya leo, tutakuwatunakosanafasi ya kujengakesho yetu,” alisema
Asha.
Alielezakuwaelimu ya
uraia na utawala bora imechangiakuongezauelewa wa vijana kuhusu hakizao na
wajibuwao katika jamii. Aidha, alisisitizamatumizisahihi ya mitandao ya
kijamiikamachombo cha kuibuamijadala ya maendeleo na kuhimizauwajibikaji.
Kwa upande wake, Mkuu
wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Jumuia ya Vijana Elimu Kaskazini Unguja
(JUVIEKA), Haji Abeid, alisemavijanawamekuwamstari wa mbele katika
kuhamasishaushiriki wa wananchi katika masuala ya utawala bora.
“Tunawawezeshavijanakupataelimu
ya uraiailiwawesehemu ya maamuzi ya maendeleo. Utawala bora
hauwezikufanikiwabilaushiriki wa vijana,” alisema.
Alifafanuakuwakupitiamafunzombalimbali,
vijanawamekuwawakifahamuzaidihakizao za msingi na namna ya kushiriki katika
mifumo ya uongozi.
Hali
hiyoimeongezamwamko wa vijanakushiriki katika harakati za
maendeleoikiwemoelimu, siasa na uongozi.
Akielezeamchango wa
mashirika ya vijana katika kuimarishaushirikihuo, Mkurugenzi wa Taasisi ya
Kupambana na Changamoto za Vijana Zanzibar (ZAFAYCO), Abdalla Abeid,
alisemamashirika ya vijanayanajukumu la kuwaunganishavijana na
viongoziilisautizaozisikike.
“Tunajengauwezo wa
vijanakushiriki katika majukwaa ya maamuzi. Vijana
wakipewanafasiwanawezakuwachachu ya maendeleoendelevu,” alisema.
Kwa upande wake, Mwenyekiti
wa Kamati ya Viongozi wa Shehia ya Mahonda, Khadija Ali Mohammed,
alisemavijananiwashirikamuhimu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
“Mawazo ya
vijanayanamchangomkubwa katika kutatuachangamoto za jamii.
Tunawahimizakushirikikikamilifu katika vikao na mipango ya maendeleo,” alisema.
Alibainishakuwaushirikianokati
ya viongozi na vijanaumechangiamafanikio ya utekelezaji wa miradimbalimbali ya
kijamii na kiuchumi katika eneohilo.
Wazazi nao
wanaonaumuhimu wa kuwajengeavijanamazingira rafiki ya kushiriki katika maamuzi.
Naima Hamad na Faki Haji Rashid, wakazi wa Mahonda,
walisemavijanawanahitajikuaminiwa na kupewanafasi ya kuonyeshauwezowao.
“Tukiwaongozavizurileo,
watakuwaviongozi bora wa kesho,” walieleza.
Akizungumza kwa niaba
ya Sheha wa Mahonda, Ali Issa alisemautawala bora huanza kwa kuwashirikisha
wananchi wote, hususanvijana.
“Vijana ninguvu ya
maendeleo katika shehia zetu. Ni wajibuwetukuwahusisha katika kupanga na
kutekelezamipango ya maendeleoilikujengajamiiyenyeuwazi, uwajibikaji na
ushirikiano,” alisema.
Mwanasheria wa Mradi wa Uwezeshaji wa Jamii kwa Ajili ya Haki za Binadamu na Utawala Bora unaotekelezwana Idara ya Maendeleo ya Jamii Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Peter Maswi Marwa,


0 Comments