Ticker

6/recent/ticker-posts

Vijana Nguzo Ya Utawala Bora Na Maendeleo Endelevu

 


NA AHMED ABDULLA:

Mapema asubuhi katika kituo cha bodaboda Mahonda, Salum Juma anajiandaakuanza safari za kuwahudumiaabiriawanaokwendakwenyeshughulizao za kila siku.

Wakati akisubiriwateja na kufanya safari mbalimbali, Salum hupatamuda wa kushirikimikutano ya kijamii na shughuli za maendeleo katika shehia yake.

Anaaminikuwavijanahawapaswikuwawatazamaji wa masualayanayohusumaendeleo ya jamiizao, baliwanatakiwakuwawashiriki wa moja kwa moja katika maamuziyanayogusamaishayao na mustakabaliwao.

Kwa mtazamo wake, ushiriki wa vijana katika utawala bora ninjiamuhimu ya kuhakikishasautizaozinasikika na mchangowaounatumika katika kujengajamiiyenyemaendeleo na uwajibikaji.

Mtazamo wa Salum unaakisihalihalisi ya vijanawengi katika visiwavya Zanzibar ambaowanazidikutambuaumuhimu wa kushiriki katika masuala ya utawala bora na maendeleo ya jamii.

Hata hivyo, badokunahitajikajuhudizaidi za kuwawezeshavijanakushirikikikamilifu katika mifumo ya maamuzikuanziangazi ya shehia haditaifa.

Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, Zanzibar inawakazi 1,889,773, ambapovijana wenye umri wa miaka 15 hadi 35 nitakribani 699,216 sawa na asilimia 37 ya wakaziwote.

Takwimuhizizinaoneshakuwavijananikundikubwalenyemchangomuhimu katika maendeleo ya taifa na ustawi wa jamii.

Kutokana na idadihiyokubwa, ushirikiwao katika masuala ya utawala bora nijambomuhimu kwa maendeleoendelevu ya Zanzibar.

Utawala bora unahusishauwazi, uwajibikaji, ushirikishwaji wa wananchi, utawala wa sheria na kuheshimuhaki za binadamu.

Katika mazingirahayo, vijanawanapaswakuwasehemu ya michakato ya maamuzikuanziangazi ya familia, shehia, wilaya haditaifa.

Ushirikiwaohusaidiakuibuamawazomapya, kuongezauwajibikaji na kuimarishamaendeleoendelevu.

Akizungumza na makalahii, Salum, alisemaushiriki wa vijana katika shughuli za kijamiihuongezauwazi na uwajibikaji katika jamii.

“Vijana wanauwezomkubwa wa kuletamabadilikochanyawanapopewanafasi ya kushiriki,” alisema.

Aliongezakuwaviongoziwanapaswakusikilizamaoni ya vijana kwa kuwawaonisehemukubwa ya jamii. Pia aliwahimizavijanakushiriki katika mikutano ya kijamii na shughulimbalimbali za maendeleobadala ya kubakiwatazamaji, kwaniushirikihuohuwajengeauwezo wa uongozi na kujiamini.

Asha Kombo Hamadi, nikijanamjasiriamalianayejishughulisha na saluni ya wanawake katika Shehia ya Mahonda, alisemaushiriki wa vijana katika utawala bora huwapanafasi ya kusikika na kutoamawazoyao kuhusu maendeleo ya jamii.

“Vijana tusiposhiriki katika maamuzi ya leo, tutakuwatunakosanafasi ya kujengakesho yetu,” alisema Asha.

Alielezakuwaelimu ya uraia na utawala bora imechangiakuongezauelewa wa vijana kuhusu hakizao na wajibuwao katika jamii. Aidha, alisisitizamatumizisahihi ya mitandao ya kijamiikamachombo cha kuibuamijadala ya maendeleo na kuhimizauwajibikaji.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Jumuia ya Vijana Elimu Kaskazini Unguja (JUVIEKA), Haji Abeid, alisemavijanawamekuwamstari wa mbele katika kuhamasishaushiriki wa wananchi katika masuala ya utawala bora.

“Tunawawezeshavijanakupataelimu ya uraiailiwawesehemu ya maamuzi ya maendeleo. Utawala bora hauwezikufanikiwabilaushiriki wa vijana,” alisema.

Alifafanuakuwakupitiamafunzombalimbali, vijanawamekuwawakifahamuzaidihakizao za msingi na namna ya kushiriki katika mifumo ya uongozi.

Hali hiyoimeongezamwamko wa vijanakushiriki katika harakati za maendeleoikiwemoelimu, siasa na uongozi.

Akielezeamchango wa mashirika ya vijana katika kuimarishaushirikihuo, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kupambana na Changamoto za Vijana Zanzibar (ZAFAYCO), Abdalla Abeid, alisemamashirika ya vijanayanajukumu la kuwaunganishavijana na viongoziilisautizaozisikike.

“Tunajengauwezo wa vijanakushiriki katika majukwaa ya maamuzi. Vijana wakipewanafasiwanawezakuwachachu ya maendeleoendelevu,” alisema.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa Shehia ya Mahonda, Khadija Ali Mohammed, alisemavijananiwashirikamuhimu katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

“Mawazo ya vijanayanamchangomkubwa katika kutatuachangamoto za jamii. Tunawahimizakushirikikikamilifu katika vikao na mipango ya maendeleo,” alisema.

Alibainishakuwaushirikianokati ya viongozi na vijanaumechangiamafanikio ya utekelezaji wa miradimbalimbali ya kijamii na kiuchumi katika eneohilo.

Wazazi nao wanaonaumuhimu wa kuwajengeavijanamazingira rafiki ya kushiriki katika maamuzi. Naima Hamad na Faki Haji Rashid, wakazi wa Mahonda, walisemavijanawanahitajikuaminiwa na kupewanafasi ya kuonyeshauwezowao.

“Tukiwaongozavizurileo, watakuwaviongozi bora wa kesho,” walieleza.

Akizungumza kwa niaba ya Sheha wa Mahonda, Ali Issa alisemautawala bora huanza kwa kuwashirikisha wananchi wote, hususanvijana.

“Vijana ninguvu ya maendeleo katika shehia zetu. Ni wajibuwetukuwahusisha katika kupanga na kutekelezamipango ya maendeleoilikujengajamiiyenyeuwazi, uwajibikaji na ushirikiano,” alisema.

Mwanasheria wa Mradi wa Uwezeshaji wa Jamii kwa Ajili ya Haki za Binadamu na Utawala Bora unaotekelezwana Idara ya Maendeleo ya Jamii Kanisa Katoliki Jimbo la Zanzibar, Peter Maswi Marwa, 

Post a Comment

0 Comments