Ticker

6/recent/ticker-posts

Simba Yathibitisha kuwauza Miquissone na Chama

 


Klabu ya simba leo Agosti 16, 2021 imethibitidha kuwauza wachezaji wake wawili wa kimataifa.

Katika taarifa iliyotolewa na kitengo cha habari cha klabu hiyo imewataja wachezaji hao kuwa ni Clatous na Luis Miquissone  huku taarifa hiyo ikiwa haikutaja timu waliouzwa wachezaji hao wala thamani waliouzwa.

Aidha klabu ya Simba imewashukuru wachezaji hao kwa mchango mkubwa walioutoa wakati wakiitumikia klabu hiyo

 



Post a Comment

0 Comments